Wednesday, June 24, 2015

Diamond Platnumz kushiriki na Neyo Jukwaa Moja kwenye usiku wa Tuzo za MTV.

MTV AFRICA wamethibitisha uwepo wa msanii wa marekani maarufu kama Neyo katika usiku wa utoaji tuzo ambazo zitafanyika tarehe 18 mwezi ujao.















Leo katika mtaandao ya Twitter MTV wamean:
"What ya'll think of a & collabo at? Could be epic, right?! "

Diamond Pia kapost katika account yake akionyesha furaha yake kuhusu hili! Diamond kaandika:

"What do you guys think????
(@mtvbaseafrica @Mtvzawanauliza unahisi itakuwaje Kolabo ya @neyo na@Diamondplatnumz kwenye#MTVMaMa2015 ???? Haya wape Maoni yako twitter kupitia account ya @Mtvza
 )"

No comments:

Post a Comment